Mkuu
wa Kitengo cha Uzalishaji na Masoko wa DTB, Sylvester
Bahati,(kushoto)akiwaelezea waandishi wa habari,jinsi ya kutoa fedha
kwenye mashine za kutolea fedha za DTB kupitia huduma ya Vodacom M PESA
ambapo sasa wateja wanaotumia huduma hiyo wanaweza kutoa pesa kupitia
mashine hizo popote walipo nchini,huduma hiyo imezinduliwa leo jijini
Dares Salaam pamoja nae ni Meneja mahusiano ya nje wa Vodacom
Tanzania,Bw.Salum Mwalim.
TANZANIA YAHODHI KONGAMANO LA CAH-SSA 2026
-
Wataalamu wa afya, watafiti, viongozi wa vijana na wadau mbalimbali wa
maendeleo kutoka ndani na nje ya Afrika wamekutana jijini Dar es Salaam kwa
ajili ya...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment