Mkuu
wa Kitengo cha Uzalishaji na Masoko wa DTB, Sylvester
Bahati,(kushoto)akiwaelezea waandishi wa habari,jinsi ya kutoa fedha
kwenye mashine za kutolea fedha za DTB kupitia huduma ya Vodacom M PESA
ambapo sasa wateja wanaotumia huduma hiyo wanaweza kutoa pesa kupitia
mashine hizo popote walipo nchini,huduma hiyo imezinduliwa leo jijini
Dares Salaam pamoja nae ni Meneja mahusiano ya nje wa Vodacom
Tanzania,Bw.Salum Mwalim.
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment