Mkuu
wa Kitengo cha Uzalishaji na Masoko wa DTB, Sylvester
Bahati,(kushoto)akiwaelezea waandishi wa habari,jinsi ya kutoa fedha
kwenye mashine za kutolea fedha za DTB kupitia huduma ya Vodacom M PESA
ambapo sasa wateja wanaotumia huduma hiyo wanaweza kutoa pesa kupitia
mashine hizo popote walipo nchini,huduma hiyo imezinduliwa leo jijini
Dares Salaam pamoja nae ni Meneja mahusiano ya nje wa Vodacom
Tanzania,Bw.Salum Mwalim.
WATUMISHI WIZARA YA ARDHI WAJENGEWA UELEWA KUHUSU LISHE NA AFYA MAHALA PA
KAZI
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Makao Makuu
wamepatiwa mafunzo maalum ya lishe pamoja na mwongozo w...
23 minutes ago

No comments:
Post a Comment