Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, April 12, 2013

LEO NI KUMBUKUMBU YA MAREHEMU EDWARD MORINGE SOKOINE ALIYEFARIKI KWA AJALI YA GARI 12/04/1984 LEO ANATIMIZA MIAKA 29


 










Ndugu Edward Moringe Sokoine (01/08/1938-12/04/1984) alikuwa Waziri Mkuu wa aina yake nchini Tanzania. Aliongoza katika kipindi ambacho nchi ilikuwa katika hali ngumu sana ya kiuchumi. Leo ni miaka 29 toka Taifa limpoteze shujaa huyu. Katika kuenzi fikra zake ambazo bado zinahitajika sana leo,

No comments:

Post a Comment