Siku
moja baada ya kituo cha ITV kuonesha mzozo uliosababisha askari wa
usalama barabarani kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukunjwa na raia
wakati akiamua ugomvi baina ya madereva wawili baada ya kutokea ajali ,
jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limelaani na kutoa onyo kali
na kuongeza kuwa tukio hilo limelidhalilisha jeshi la polisi na kwamba
halivumiliki
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment