Siku
moja baada ya kituo cha ITV kuonesha mzozo uliosababisha askari wa
usalama barabarani kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukunjwa na raia
wakati akiamua ugomvi baina ya madereva wawili baada ya kutokea ajali ,
jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limelaani na kutoa onyo kali
na kuongeza kuwa tukio hilo limelidhalilisha jeshi la polisi na kwamba
halivumiliki
Serikali yaanzisha Uchunguzi Hospitali ya Temeke, Tuhuma za Rushwa
zachunguzwa
-
Dodoma Desemba 26, 2025: Serikali imeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu
mwenendo wa utoaji wa huduma katika Hospitali ya Temeke, ikiwemo kuzimwa
kwa mashine...
9 hours ago


No comments:
Post a Comment