Siku
moja baada ya kituo cha ITV kuonesha mzozo uliosababisha askari wa
usalama barabarani kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukunjwa na raia
wakati akiamua ugomvi baina ya madereva wawili baada ya kutokea ajali ,
jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limelaani na kutoa onyo kali
na kuongeza kuwa tukio hilo limelidhalilisha jeshi la polisi na kwamba
halivumiliki
WENYEVITI WA BODI /BODI ZA SEKTA YA UCHUKUZI SIMAMIENI MIRADI NA
KUHAKIKISHA INAKAMILIKA KWA MUDA NA KWA UBORA UNAOSTAHILI.
-
Na. Vero Ignatus, Arusha
Serikali imesema kuwa idadi ya mizigo inayopita Bandari ya Dar -es -salaam
kwenda nchi nyingine imeongezeka kutoka tani Million 5....
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment