Kutoka Bungeni Dodoma tunaarifiwa kuwa baada ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya mwaka,hatimaye serikali imekubali mapendekezo ya awali ya tume ya uchanguzi ya matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kufutwa na kusahihishwa upya kupitia mfumo wa usahihishaji wa mwaka 2011 haraka iwezekanavyo.SOURCE ITV TANZANIA
MANKATZ AFICHUA ALIVYOWAHI KUOMBWA RUSHWA YA NGONO ILI APATE NAFASI YA
KUIGIZA
-
Msanii na mtayarishaji wa filamu nchini na Diwani wa Viti Maalum Wilaya
ya Kinondoni, Councillor Lilian Shirima "Manka amesema amewahi kukutana na
c...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment