Shows mbili zilizokuwa zifanyike ijumaa hii Tar 31 Mwezi wa tano zimehairshwa kutokana na msiba wa msanii maarufu ngwea,aliyefariki akiwa nchini South Africa mapema Mchana wa leo,Mwana FA akiongea na kipindi cha ampilifaya cha clouds fm amesema kwamba wameamua kuhairisha show yao hiyo ikiwa ni heshima kwa msanii huyo,na akaongeza show itafanyika mara baada ya mazishi yake na tarehe mpya ya show hiyo itatangazwa siku chache zijazo,Msanii kalapina wa kikosi cha mizinga naye ameamua kuhairisha show yao iliyokuwa ifanyike ijumaa hii pia.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AWASILI MKOANI KAGERA LEO KUWEKA JIWE MSINGI
UJENZI WA KAMPASI YA UDSM
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera leo tarehe
14 D...
57 minutes ago


No comments:
Post a Comment