Shows mbili zilizokuwa zifanyike ijumaa hii Tar 31 Mwezi wa tano zimehairshwa kutokana na msiba wa msanii maarufu ngwea,aliyefariki akiwa nchini South Africa mapema Mchana wa leo,Mwana FA akiongea na kipindi cha ampilifaya cha clouds fm amesema kwamba wameamua kuhairisha show yao hiyo ikiwa ni heshima kwa msanii huyo,na akaongeza show itafanyika mara baada ya mazishi yake na tarehe mpya ya show hiyo itatangazwa siku chache zijazo,Msanii kalapina wa kikosi cha mizinga naye ameamua kuhairisha show yao iliyokuwa ifanyike ijumaa hii pia.
Serikali yazindua Katalogi ya kwanza ya ubunifu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI imezindua Katalogi ya Kwanza ya Ubunifu ya MAKISATU, jukwaa
linalowakutanisha watafiti na wanasayansi ili kuonesha ...
47 minutes ago


No comments:
Post a Comment