Shows mbili zilizokuwa zifanyike ijumaa hii Tar 31 Mwezi wa tano zimehairshwa kutokana na msiba wa msanii maarufu ngwea,aliyefariki akiwa nchini South Africa mapema Mchana wa leo,Mwana FA akiongea na kipindi cha ampilifaya cha clouds fm amesema kwamba wameamua kuhairisha show yao hiyo ikiwa ni heshima kwa msanii huyo,na akaongeza show itafanyika mara baada ya mazishi yake na tarehe mpya ya show hiyo itatangazwa siku chache zijazo,Msanii kalapina wa kikosi cha mizinga naye ameamua kuhairisha show yao iliyokuwa ifanyike ijumaa hii pia.
JAI yapanga kulisha wagonjwa zaidi ya 1,800 Eid El-Fitr, yaomba msaada wa
Sh. Milioni 22
-
Taasisi ya Jumuiya ya Tabia za Kiislam (JAI ) imepanga kuwalisha wagonjwa
zaidi ya 1,800 katika hospitali mbalimbali wakati wa sikukuu ya Eid
al‑Fitr, ikiw...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment