Kwenye kipindi cha Power Breakfast kitakacho rushwa siku ya jumatatu saa
mbili asubuhi Ruge Ataongelea issue ya Jay Dee ,Lady Jay Dee ameingia
kwenye vita kali na Clouds Fm huku akimshambulia Joseph Kusaga na Ruge
Mutahaba kwa madai kuwa ndio wanaokula jasho la wasanii.
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment