Show ya Airtel Yatosha iliyofanyika Mbagala Zakhem, Temeke jijini Dar es Salaam imelazimika kuishia njiani baada ya kuzuka vurugu kubwa.
Fujo hiyo ilianza baada ya Nay kurusha nguo zake na mkanda wake kuwatupia mashabiki walioanza kuugombania. Vurugu hizo zimesabisha watu kuumia na wengine kuibiwa.
Msikilize hapa.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago

No comments:
Post a Comment