Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, June 27, 2013

JESHI LA POLISI LATOA ONYO LA KUTOFANYIKA KWA MAANDAMANO YA CUF KWENDA IKULU DAR ES SALAAM



Jeshi la polisi limetoa onyo la kutofanyika maandamano ya CUF kwenda Ikulu na endapo watalazimisha kuandamana hatua za kisheria zitachukuliwa.Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam CP Suleiman Kova amesema Tanzania itakua mwenyeji wa ugeni mkubwa wa kimataifa uliwemo wa ushirikiano kwa manufaa ya wote ambao utauhusisha maraisi 14.

No comments:

Post a Comment