MWENDESHA
Mashitaka wa Serikali (DPP) aliambulia patupu baada ya
Hakimu wa Mahamaka ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Dodoma, kumwachia huru
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, (CHADEMA) ambaye alimfikisha
kizimbani kujibu tuhuma za kumkashifu Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupitia
mitandao ya jamii. Kulia kwake ni Mhe. Tundu Lissu wakati wakitoka Mahakamani
VIVUKO MAFIA VYASIMAMA SIKU 18 SASA, SERIKALI KUUNDA TIMU ILI KUPATA SULUHU
YA KUDUMU
-
Na Mwamvua Mwinyi,Mafia
SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Uchukuzi na Wizara ya Ulinzi
na Jeshi la Kujenga Taifa itaunda Timu Maalum itakayo...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment