mechi ya mpira wa miguu ikiendelea
mbio kwa wakina dada hapo
mashabiki wa wakifuatilia mchezo wa netballll
madada wa netball wakijipanga
umati wa mashabiki
bwana sadat mchezaji wa BPLM akifuatilia mechi
Bwana Noz B mratibu wa bonanza hilo
haya sasa ubabe wa kuvutana na kamba
wadada wakiwa na furaha teleeee
Hahahaha mashindano ya draft jamaa akijitapa kwamba ashapewa mke kwa kushinda mkoa wa tanga
one touch bana ahhhh vp
picha zote na dj-sek.blogspot.com
CHINA YAFUNGUA SOKO KWA BIDHAA ZA TANZANIA, UBALOZI KUANZISHA KLINIKI YA
BIASHARA SABASABA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI ya Tanzania imesema iko tayari kuongeza uzalishaji wa bidhaa na
kutumia fursa ya soko la China kufuatia hatua ya t...
3 hours ago





























No comments:
Post a Comment