
Ndege
iliyoileta miili ya wanajeshi wa JWTZ waliouwawa Darfur ikiwasili eneo
la Jeshi katika Uwanja wa Kimataifa wa Julias Nyerere

Baadhi
ya askari wa JWTZ wakibeba miili ya wanajeshi wenzao waliouwawa Darfur
kuiingiza kwenye magari maalum kabla ya kuondolewa katika uwanja wa
jeshi.

Baadhi
ya askari wa JWTZ wakibeba miili ya wanajeshi wenzao waliouwawa Darfur
kuiingiza kwenye magari maalum kabla ya kuondolewa katika uwanja wa
jeshi.

Baadhi ya askari wa JWTZ wakifunika majeneza ya askari hao kwa bendera ya taifa mara baada ya kushushwa kwenye ndege maalum



Makamu
wa Rais Dk Gharib Bilal akiongoza viongozi mbalimbali na maofisa wa
jeshi la JWTZ, Jeshi la Polisi na wengine mbalimbali kupokea miili hiyo



No comments:
Post a Comment