Irene Uwoya hivi karibuni
amebadilisha jina lake la instagram na kuanza
kujiita Irenewaferegola8. Kama ulikuwa hujui Feregola8 ni msanii mkubwa
kama Farry Ipupa huko Congo. Hatujajua kama irene uwoya ni marafiki
wapya wazuri au Irene Uwoya ni moja kati ya mashabiki wakubwa wa
mwanamuziki wa Congo Fere Gola.
NSSF: Wananchi Waliojiajiri Jiungeni, Jiwekeeni Akiba kwa Kesho Yenye
Uhakika
-
Dar es Salaam, Julai 10, 2026
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri
nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili...
15 hours ago



No comments:
Post a Comment