Irene Uwoya hivi karibuni
amebadilisha jina lake la instagram na kuanza
kujiita Irenewaferegola8. Kama ulikuwa hujui Feregola8 ni msanii mkubwa
kama Farry Ipupa huko Congo. Hatujajua kama irene uwoya ni marafiki
wapya wazuri au Irene Uwoya ni moja kati ya mashabiki wakubwa wa
mwanamuziki wa Congo Fere Gola.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago



No comments:
Post a Comment