Irene Uwoya hivi karibuni
amebadilisha jina lake la instagram na kuanza
kujiita Irenewaferegola8. Kama ulikuwa hujui Feregola8 ni msanii mkubwa
kama Farry Ipupa huko Congo. Hatujajua kama irene uwoya ni marafiki
wapya wazuri au Irene Uwoya ni moja kati ya mashabiki wakubwa wa
mwanamuziki wa Congo Fere Gola.
Rais Samia afungua Soko Kuu Jipya la Kariakoo, Ilala Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Soko Kuu jipya la Kariakoo, Ilala
Jijini Dar e...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment