Aliyekuwa kaimu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa SUMATRA na Jaji Mstaafu wa mahakam kuu ya Tanzania 'Buxton David Chipeta' amefariki dunia siku ya tarehe 16 Julai, 2013 kwenye Hospitali ya Hindu Mandal iliyoko jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Marehemu, Oysterbay Mtaa wa Chole/Lincon, Plot No. 580. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema Peponi, Amen.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment