Aliyekuwa kaimu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa SUMATRA na Jaji Mstaafu wa mahakam kuu ya Tanzania 'Buxton David Chipeta' amefariki dunia siku ya tarehe 16 Julai, 2013 kwenye Hospitali ya Hindu Mandal iliyoko jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Marehemu, Oysterbay Mtaa wa Chole/Lincon, Plot No. 580. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema Peponi, Amen.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
2 days ago

No comments:
Post a Comment