Aliyekuwa kaimu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa SUMATRA na Jaji Mstaafu wa mahakam kuu ya Tanzania 'Buxton David Chipeta' amefariki dunia siku ya tarehe 16 Julai, 2013 kwenye Hospitali ya Hindu Mandal iliyoko jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Marehemu, Oysterbay Mtaa wa Chole/Lincon, Plot No. 580. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema Peponi, Amen.
AAT KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU BARABARANI
KUNUSURU AJALI MASHULENI
-
WANANCHI Watakiwa kujikita zaidi katika Kusoma na Kujifunza zaidi Elimu ya
Usalama Barabarani ili kuepuka ajali zisizo za lazima hususani kwa Watoto
Mash...
56 minutes ago

No comments:
Post a Comment