Aliyekuwa kaimu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa SUMATRA na Jaji Mstaafu wa mahakam kuu ya Tanzania 'Buxton David Chipeta' amefariki dunia siku ya tarehe 16 Julai, 2013 kwenye Hospitali ya Hindu Mandal iliyoko jijini Dar es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Marehemu, Oysterbay Mtaa wa Chole/Lincon, Plot No. 580. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema Peponi, Amen.
SHINA LA MAKUNDUCHI MMEDHIHIRISHA KWA VITENDO KUWA MAENDELEO HAYANA
CHAMA-.DKT.MIGIRO
-
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dkt.Asha Rose Migiro,amezindua
Shina la wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru Wilaya ya
Dodoma ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment