Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi saba
walioteuliwa hivi karibuni na kuagana nao kabla hawajaripoti kwenye vituo vyao
katika nchi mbali mbali leo Ikulu jijini Dar es salaam. Mabalozi hao toka
kushoto ni Mhe Modest Melo anayekwenda Umoja wa Mataifa, The Hague, Geneva, Mhe
Mabrouk n. Mabrouk (Abu Dhabi – Umoja wa Falme za Kiarabu – UAE), Luteni
Jenerali Mstaafu Abdulrahman Shimbo (Beijing, China), Mhe Anthony Cheche (Kinshasa
- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC), Mhe Chabaka Kilumanga (Visiwa vya
Comoro), Mhe Wilson Masilingi (The Hague, Uholanzi) na Mhe Liberata Mulamula
(Washington DC, Marekani). PICHA NA IKULU
RC CHALAMILA AFANYA KIKAO KAZI NA WENYEVITI, WATENDAJI WA KATA NA MITAA DSM
-
-Atoa maagizo lukuki ya kuboresha Mkoa huo kuelekea AFCON 2027.
-Ataka muonekano mzuri wa Jiji kwa kufanya usafi wa mazingira na kuondoa
kabisa gereji ...
21 hours ago


No comments:
Post a Comment