Mafundi
wa DAWASCO wakizibua chemba ya maji taka iliyokuwa imeziba na kumwaga
maji katika mzunguko wa Bandari Klabu jijini Dar es Salaam leo. Chemba
hiyo ilikuwa ikitema maji hayo kwa siku kadhaa bila marekebisho.PICHA NA MROKI
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago



No comments:
Post a Comment