Mafundi
wa DAWASCO wakizibua chemba ya maji taka iliyokuwa imeziba na kumwaga
maji katika mzunguko wa Bandari Klabu jijini Dar es Salaam leo. Chemba
hiyo ilikuwa ikitema maji hayo kwa siku kadhaa bila marekebisho.PICHA NA MROKI
PROGRAMU YA MSINGI YA SAYANSI KWA WANAWAKE AWAMU YA PILI 2025/2026 OUT,
YAANZA RASMI
-
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeanza rasmi Awamu ya Pili ya
Programu ya Msingi ya Sayansi kwa wanawake wanaotoka katika mazingira
magumu kwa mwaka...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment