kukosa kufanya kazi yake kwa uhuru na uzarendo ndani ya nche yake zawa wanahabari wengine wakigeni walipewa ushirikiano kana kwamba ni miungu na kufanya kazi zao bila bughuza kwa kupiga picha hadi uvunguni kwa waziri mkuu huyo kutoka kwa wakulima mpunga Thailand.
DKT.BITEKO AWATAKA WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TANESCO KUWA MABALOZI WA KUTUMIA
NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
*Wanawake hao wamzawadia jiko la umeme Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa
Nishati
Na Mwandishi wetu.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko...
5 hours ago
Hii habari yakichochezi na haina mantiki yoyote, Aidha imejaa maneno hasi yasiyo jenga na yenye kukiuka mipaka ya habari.
ReplyDeleteKama alisukumwa basi alizidi mipaka au alitiliwa mashaka kwani huyu alompiga picha alikua wapi? mbona yeye hakusukumwa? mbona mimi nilikuepo lakini sikuona waandishi wengine wakifanyiwa vurugu. Wewe ni mpumbavu alafu huna akili na maadili ya kazi huna.
Tanzania tutamalizwa. Wanahabar amtakiwi kulalama, kaz n kwenu nyie ndo tz yenyew na ndo mnaoishape xo du ya thang men
ReplyDelete