Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 10, 2013

Z-Anto afiwa na mama yake.




Msanii Z-Anto amefiwa na mama yake mzazi mchana huu wa leo na msiba unafanyikia nyumbani kwao maeneo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam. Tunampa pole kwa msiba huo

No comments:

Post a Comment