Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 16, 2013

Angalia Picha Za MAANDALIZI YA UZINDUZI WA FIESTA 2013 89.3 KIGOMA TWENZETU


Bonge akiwa mitaa ya Kigoma mbele ya gari aina ya Vitz ambayo atakabidhiwa mshindi katika msimu mpya wa Fiesta 2013 Kigoma siku ya Jumamosi 17 August 2013 katika viwanja vya Lake Tanganyika Stadium Twenzetu.
Millardayo.
Mbwiga Mbwiguke.
Mwenyekiti wa kamati kuu ya Fiesta 2013 Sebastian Maganga akiongea na mkazi wa Kigoma wakati timu ya Clouds FM ilipokuwa ikitembea katika mitaa mbalimbali ya Kigoma mjini.
Wakazi wa Kigoma wakiangalia gari aina ya Vitz likipita, gari hiyo atapewa mshindi katika msimu mpya wa Fiesta 2013 siku ya Jumamosi 17 AAugust 2013.

No comments:

Post a Comment