Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 16, 2013

ANGALIA VIDEO:KIJANA ALIYEKAMATWA NA DK MWAKYEMBE AKIWA KATIKA HARAKATI ZA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA..!!

Siku moja baada ya ziara ya kushtukiza ya waziri wa uchukuzi Dk. Harison Mwakyembe, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar-es-Salaam, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa uwanjani hapo katika harakati za kusafirishwa kwenda nchi za nje. TAZAMA VIDEO HAPO CHINI

No comments:

Post a Comment