Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, August 28, 2013

EXCLUSIVE PHOTOS::;HIVI NDIVYO BASI LA TIMU YA COASTAL UNION LILIVYOPASULIWA VIOO NA MASHABIKI WANAODAIWA KUWA WA YANGA

Mbali ya mwamuzi kufanya kisichotarajiwa kwa timu zote mbili lakini mashabiki wa Yanga bado walishikilia kuwa Coastal Union wamebebwa hata kuzawadiwa penalt dakika ya 90 na nahodha Jerry Santo kutumbukiza wavuni na kugeuza matokeo kuwa 1-1. Hata hivyo gari la wachezaji wa Coastal Union lilishambuliwa na mashabiki wa Yanga hata kuvunjwa kioo cha pembeni na beki wa Coastal Union Hamad Juma kupasuliwa sehemu ya kichwa akashonwa nyuzi kadhaa. Viongozi wa Coastal Union wanauliza je huu ni uungwana?



No comments:

Post a Comment