MAMA SALMA AHUDHURIA NA KUFUNGA RASMI MKUTANO WA HIGH LEVEL GROUP HUKO BOTSWANA.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa rasmi kwenye mkutano wa
“High Level Group” na Dr. Sheila Tlou, Mkurugenzi wa UNAIDS Regional
Support Team kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika katika siku ya
pili ya mkutano huo unaofanyika jijini Gaberone nchini Botswana tarehe
31.7.2013.PICHA NA JOHN LUKUWI WA MAELEZOBaadhi
ya wajumbe wa mkutano wakisoma jarida linalochapishwa na Taasisi ya
Wanawake na Maendeleo, WAMA, huku wakiendelea na mkutano.Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma
Kikwete akifunga rasmi mkutano wa High Level Group uliokuwa unafanyika
kwenye hoteli ya Lasmore nchini Botswana tarehe 31.7.2013.Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma
Kikwete akifunga rasmi mkutano wa High Level Group uliokuwa unafanyika
kwenye hoteli ya Lasmore nchini Botswana tarehe 31.7.2013.Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Profesa Alaphia
Wright, Mwakilishi wa UNESCO kwenye nchi za ukanda wa Kusini mwa Afrika
mwishoni mwa mkutano wa siku mbli wa High Level Group ulikuwa ukifanyika
jijini Gaberone nchini Botswana tarehe 31.7.2013.Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akimsikiliza kwa makini Dr. Patricia
Machawira, Mshauri wa HIV na AIDS kwa nchi za ukanda wa Mashariki na
Kusini mwa Afrika mwishoni mwa mkutano wa siku mbili uliokuwa unafanyika
nchini Botswana. Dr. Machawira alikuwa akimshukuru Mama Salma kwa
ushiriki wake kwenye mkutano huo uliofanyika tarehe 30.7 hadi 31.7.3013.Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akihojiwa na na MS Sandra Chuma kutoka
kwenye sekretarieti ya High Level Group, kuhusu masuala mbalimbali
yanayowakabili wanafunzi yanayohusiana na elimu na afya, mwishoni mwa
mkutano.Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akiagwa rasmi na Mwakilishi wa UNESCO wa
Kanda ya Kusini mwa Afrika Profesa Alaphia Wright nje ya hoteli ya
Lasmore huko Gaberone nchini Botswana ulikofanyika mkutano wa siku mbili
wa High Level Group kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika
kuhusiana na elimu na afya kwa vijana.
NYAKATI NGUMU HUPITA - ALI KAMWE
-
Licha ya kipigo kutoka kwa MC Alger, Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu
ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha matumaini makubwa na kuhimiza mashabiki na
wan...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi I
-
*1. IMDB*
www.imdb.com
*2. IPP Media*
www.ippmedia.com
*3. Idhaa ya kiswahili DW.DE*
www.dw.de/idhaa-ya-kiswahili/s-11588
*4. Idawa Onlin...
No comments:
Post a Comment