Jeshi
la Polisi Mkoani Mwanza linamshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana
jijini humo,Mh Ezekiel Wenje kwa madai ya kuongoza maandamano
yaliyosambaratishwa na polisihapo jana kwa kutumia mabomu ya kutoa
machozi
VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA TIBA ASILI NA MAZINGIRA
-
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa TRAMEPRO, Boniventura Mwalongo, ametoa wito maalumu kwa
vijana nchini, Afrika Mashariki na duniani kote kuchangamkia f...
20 minutes ago


No comments:
Post a Comment