Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, August 20, 2013

Polisi Mwanza yamshikilia Mh.Wenje


 Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linamshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana jijini humo,Mh Ezekiel Wenje kwa madai ya kuongoza maandamano yaliyosambaratishwa na polisihapo jana kwa kutumia mabomu ya kutoa machozi

No comments:

Post a Comment