IZZO BIZNESS APATA AJALI MBAYA AKIWA ANAELEKEA AIRPORT,MSANII FILBERT KABAGO AUMIA MAENEO YA JICHO
Haya ni Maneno ya Izzo Tumepata
Ajali Mbaya Eneo la MSITUNI wakati tunatokea GEITA kwenye Show kuelekea
Airport MWANZA...Tunamshukuru Mungu Tupo salama...Pole kwa brother
Philbert KABAGO kwa kuumia maeneo ya Pembeni ya Jicho lake...Get well
soon bro...Mungu ni Mwema
Msizuie wanafunzi kufanya Mitihani - Dkt. Mwigulu
-
**Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu*
* WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini
kutowazuia wa...
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment