Hii ilikuwa leo katika hotel ya Courtyard Dsm , wameamua kuweka wazi juu ya katiba na mwelekeo wa pamoja.
Wenyeviti wa vyama vya Siasa vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi leo wamekukutana na wahariri na waandishi wa habari kueleza mikakati na mbinu watakazozitumia kunusuru taifa lisiingie kwenye utungaji wa Katiba mpya itakayobeba masilahi ya chama tawala.
Wajane wa Wanamuziki wa Rumba Tanzania: Walinzi wa Urithi wa Muziki wa
Kizazi Kilichopita
-
Katika historia ya muziki wa Tanzania, majina ya wanamuziki wakubwa wa
rumba hayajawahi kufutika kwenye kumbukumbu za mashabiki wa muziki. Lakini
nyuma y...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment