Hii ilikuwa leo katika hotel ya Courtyard Dsm , wameamua kuweka wazi juu ya katiba na mwelekeo wa pamoja.
Wenyeviti wa vyama vya Siasa vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi leo wamekukutana na wahariri na waandishi wa habari kueleza mikakati na mbinu watakazozitumia kunusuru taifa lisiingie kwenye utungaji wa Katiba mpya itakayobeba masilahi ya chama tawala.
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment