kugonga lori lingine nae kubanwa na bodi na kuokolewa baada ya
jitihada zilizofanywa na baadhi ya Abiria waliokuwa wakisafiri katika
barabara kuu ya Dar es salamu kwenda Mtwara na Lindi.
Kunja Mshamu limepata ajali hiyo leo katika kijiji cha Mkwajuni
wilayani Lindi baada ya kutaka kulipita gari lenye namba za usajili
T 402 AJG Scania lililokuwa likiendeshwa na Amos Chadenyile na
kushuhudiwa na BLOG HII jitihada zilizokuwa zinafanywa kuokoa
maisha ya kijana huo.
Katika ajali hiyo iliyousisha malori hayo hakuna majeruhi mwingine
aliepata jeraha huku gari hiyo ya Fuso likiwa limeharibika sana

No comments:
Post a Comment