Boti moja iliyobeba mizingo kuelekea Zanzibar inawaka moto hivi sasa
katika bahari ya hindi nje kidogo ya bandari habari kutoka Breking news
ya Radio one leo asubuhi boti hiyo ni ile inayobeba mizigo ya
wafanyabiashara jeshi la polisi pamoja na vifaa kadhaa vimelekea vkatika
tukio ili kuwahi kuzima moto tutawaletea zaidi
NEMC yashiriki maonyesho ya miaka 60 ya Muungano.
-
-Yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya
watu wanaojenga ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment