fidq >>Happy Earthday Cheupe @ecejay .. A k a Andunje au Kistuli/ one of the smartest people i know.. #Vizuri
/
Leo nimeamua kufunguka ili upate kunitambua kwa hizi tungo/ tafadhali
usinizuie kuongea..hiyo ni sawa na kujaribu kuficha jua kwa ungo/
Asante kwa kuwa mshkaji wa ukweli/ incharge haujafeli.. Uko poa? Au kama
kuna lolote unahitaji niTeli/ una namba zangu zote za Celly/ na sina
mpango wa kukumwagia maji, mimi ni rasta.. Man selektah kama Kerry/
Pheeew.. Hivi nimekusalimu au nimekurupuka tu kama Ngadu aliyetoka
baharini ? / na kuja nchi kavu.. Lakini yote ni love tu ama nini?/
Enhee.. U hali gani?/ ' unaonaje ' kama tukienda kusherehekea B,day yako
Forodhani? / najua utanijibu ' unaona kwa Macho' tu/ na hicho ndio kitu
ambacho Q humfanya aseme hauna ufagio/ nikiuliza unajisikiaje leo?
Utanijibu ' wallah kwa masikio ' / basi sawa.. / yangu ni hayo tu.. (C)
Cheusidawa
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment