Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, October 10, 2013

Polisi DSM yathibitisha kuokolewa kwa wavuvi 11 Nyakatome


 Jeshi la Polisi Kanda maalum ya DSM limethibitisha kuokolewa kwa wavuvi wote 11 ambao Jahazi lao liliwaka moto asubuhi ya leo katika eneo la Nyakatome

No comments:

Post a Comment