Kwa muda
mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu
nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network,
Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo
zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye
tuliaca. Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu.
sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini
tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya
kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4
kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda?
Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23
imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko. Twasubiri kyenye kitatoka
Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC
FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI
WANANI. — at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment