Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
Dkt. Mwigulu Nchemba Aongoza Washiriki Zaidi ya 13,000 NBC Dodoma Marathon;
Shilingi Bilioni 1 Zakusanywa Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck
Nchemba, leo ameongoza zaidi ya washiriki 13,000 katika mbio za NBC Dodoma
Marathon 202...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment