Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment