Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
TADB YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA
-
Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa mwaka 2026 yameanza
rasmi leo tarehe 19 Januari, 2026 katika Viwanja vya Usagara vilivyopo
jijini Tanga....
50 minutes ago

No comments:
Post a Comment