Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
Wauguzi Watatajwa Nguzo ya Uchumi wa Dola Trilioni Moja ifikapo 2050
-
UBORA wa rasilima watu( Afya na Maarifa) ndio sarafu ya dunia kwa sasa na
hivyo kete muhimu kwa Tanzania kujiunga na Mataifa tajiri mwaka 2050(
Trilio...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment