Unapozungumzia Mixing,Cutting na Scratching(mikuno) zilizoenda shule basi hutoacha kumtaja Dj summer,Jumamosi Ya Tar 30-11-2013 pale escape one kwenye fainali za Epiq bongo star search Dj summer atatimua vumbi la hatariiiii kwenye burudani.Hii si ya kukosa wala kusimuliwa ni vizuri ukajioneee mwenyeweee kwa macho yako!!!!!!SHHHHHHHHHH KAUSHAAAAAAAA!!!!!
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Kampeni ya Utoaji Elimu na Uandikishaji
Wanachama Soko la Mabibo
-
Na Mwandishi Wetu,
Dar es Salaam.
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi
ya jamii na kuandikisha wanachama wapya kupi...
53 minutes ago



No comments:
Post a Comment