Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 19, 2013

HOT NEWSSS::HUYU NDIYO MTOTO WA LINEX MWENYE MIAKA 8 ALIYE ISHI KWA MAMA YAKE KWA MUDA WOTE BILA LINEX KUJUA KAMA ANA MTOTO..

Hitmaker wa Kimugina Linex Sunday amesema amekabidhiwa mtoto wake 
Richard Sunday kutoka kwa mpenzi wake ambaye alimficha
kutokana  usalama wa Linex wakati wa mahusiano yao
Akizungumza na Bongo5 leo, Linex alisema alikuwa hatambui kama ana 
mtoto mwenye umri wa miaka nane kwakuwa alifichwa na mpenzi wake 
kutokana na 
mambo ya kifamilia kati ya wapenzi hao wawili. 
 Kweli nimefurahi sana kupata kitu ambacho haukukitegema.  
Kwa sasa  nimetoka kumchukua katika shule ambayo alikuwa 
anasoma nataka  kumhamisha, amesema Linex 

Unajua mambo ya wanaume jinsi tulivyo,mimi nimeshindwa kuruka 
kwasababu kitu alicho kifanya ni cha kijasiri sana
 Hata hivyo Linex amesema hataki kusema nini kilitokea 
    kati yake na mzazi mwenzake kwakuwa anaandaa 
documentary ya tukio hilo itakayokuwa 
na mambo mengi excusive kuhusu yeye na mahusiano 
yake pamoja na mtoto  itayotoka wiki ijayo na 
kuisambaza kwenye TV mbalimbali 

No comments:

Post a Comment