DJ SEKBLOG inatoa pole
zake kwa msanii SNURA kwa kufiwa na kaka yake wakuzaliwa nae
anaejulikana kwa jina la Yusufu kaka yake wa kwanza kuzaliwa kwa
marehemu baba yake mzee Mushi. Msiba huo umetokea Mlandizi baada ya
kupigwa na radi kali jana asubuhi wakati marehemu akiwa shambani kwake Mlandizi. SNURA akiongea na blog hii amesema wanazika leo huko huko Mlandizi mida ya saa kumi jioni. mungu alaze roho ya maehemu YUSUFU
MUSHI mahala pema peponi. AMIN.
TUJIKINGE NA UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA KWANI ZAIDI YA WATU 60,000 HUFARIKI
KILA MWAKA
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdul Mhinte katikati akiwa
katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Kichaa cha Mbwa Duniani
Wilayani M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment