DJ SEKBLOG inatoa pole
zake kwa msanii SNURA kwa kufiwa na kaka yake wakuzaliwa nae
anaejulikana kwa jina la Yusufu kaka yake wa kwanza kuzaliwa kwa
marehemu baba yake mzee Mushi. Msiba huo umetokea Mlandizi baada ya
kupigwa na radi kali jana asubuhi wakati marehemu akiwa shambani kwake Mlandizi. SNURA akiongea na blog hii amesema wanazika leo huko huko Mlandizi mida ya saa kumi jioni. mungu alaze roho ya maehemu YUSUFU
MUSHI mahala pema peponi. AMIN.
HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE - KIHONGOSI
-
Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika
Tawi la Many...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment