Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 19, 2013

TAZAMA PICHA MSANII BEN PAUL ALIPOTOA MSAADA KWENYE VITUO VYA WATOTO YATIMA MKOANI DODOMA

Nyumbani ni nyumbani hatimaye msanii wa Msanii wa kizazi kipya bernard paul ambaye maskani yake ni Dodoma siku ya jana tar 16.11.2013 ametembelea vituo vya watoto yatima mkoani Dodoma na kutoa msaada wenye samani ya zaidi ya 1,000,000.
Akifanya zoezi ilo akiwa sambamba na marafki zake wa karibu wa Dodoma MSOUTH KATO na Edga Islael pamoja na wengine kibao.
Ben Poul aliamua kugawana kipato chake na watoto waishio kwenye mazingira magumu Dodoma kama ishara ya kuwadhamini na kuwajali watoto. ben poul alitemberea vituo vya shukrani na miyuji vituo ivyo vya watoto shukrani kipo changombe Dodoma kituo kicho cha kuwalea watoto waliotoka kwenye mazingira magumu pamoja na kituo cha miyuji kinacholea watoto wenye mtindio wa ubongo
DJ SEK  inampongeza ben poul kwa roho ya upenda aliyokuwa nayo kwa kufanya mambo mazuri ya kumpendeza mwenyezi mungu, big up sana ben, mungu atazidi kukubariki kwa kila jambo:
CREDIT : BOSS NGASA

No comments:

Post a Comment