Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo
mahabusu katika Kituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya
kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana
anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake, Mariam Nnauye.CHANZO GPL
Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango
Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment