Wanainchi wakiwa wamejipanga mtaaa wakimsubili Zitto kabwe
Kijana akiwa ameshona shati maalumu kwa ajili ya mapokezi ya zitto kabwe kigoma asubuhi hii
Wakina mama wakiwa na mabango yenye ujumbe
Ujumbe katika moja ya mabango yaliyobebwaa
Wakazi wa kigoma wakiwa wamejipanga kwa wingi barabarani
Vijana wakiwa karibu na kigoma airport wakimsubili zito kabwe
Wakazi wa kigoma wakimsubili zitto kabwe asubuhi ya leo
Tambala likiwa limefungwa juuu likiwa na ujumbe kwa Zitto kabw
Dj sek toka kigoma asubuhi ya leo imekutana na maelfu ya wanainchi wa mkoa huo wakiwa wanajiandaa na wengine wakieleke airport kumpokea mbung wao Zitto kabwe anayekuja jimboni kwake leo ambapo anatarajia kufanya mkutano mkubwa mkoani hapa,Picha na Taarifa zaidi zitaendelea kukujia kaa nasi.
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
7 hours ago









No comments:
Post a Comment