Ney wa mitego amefunguka leo kupitia kipindi cha Amplifaya cha clouds fm kuwa amefanikiwa kuingiza kiasi cha mamilioni ya shilingi katika show za fiesta zinazoongozwa clouds, Ney wa mitego amesema hayo wakati huu wa kutimiza miaka 14 ya clouds fm alipokuwa akihojiwa. Ney "alisema Nimefanikiwa kuingiza zaidi ya milioni 24 za kitanzania katika msimu wa fiesta wa mwaka huu"
Vodacom Tanzania Foundation Yaweka Kambi za Afya Bure Zanzibar Kupambana na
Magonjwa Yasiyoambukiza
-
*Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani (wa pili
kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Kambi ya Huduma za Afya
iliyoandal...
28 minutes ago


No comments:
Post a Comment