Ney wa mitego amefunguka leo kupitia kipindi cha Amplifaya cha clouds fm kuwa amefanikiwa kuingiza kiasi cha mamilioni ya shilingi katika show za fiesta zinazoongozwa clouds, Ney wa mitego amesema hayo wakati huu wa kutimiza miaka 14 ya clouds fm alipokuwa akihojiwa. Ney "alisema Nimefanikiwa kuingiza zaidi ya milioni 24 za kitanzania katika msimu wa fiesta wa mwaka huu"
Mashirikiano ya VETA na Wazalishaji ndio daraja la kutanua soko la ajira
kwa vijana-Profesa Mkenda
-
Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akipata maelezo
kuhusiana ubunifu wa vazi la bibi harusi linalobuniwa na mtanzania kwenye
kon...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment