Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 4, 2013

Majeruhi 26 wa ajali ya basi la Urafiki wanaendelea vizuri


0_027b0_fbe5d.jpg
Katika ajali iliyotokea jana maeneo ya Isimani ikilihusisha basi la Urafiki na kusababisha watu 26 kujeruhiwa huku wengine watatu wakiwa katika hali mbaya ambao ni dereva, konda wa basi hilo na abiria mmoja. Mpaka sasa majeruhi hao 26 wanaendelea vizuri na bado wanapewa matibabu.


No comments:

Post a Comment