Unamkumbuka Mwigizaji gwiji na maarufu Mzee Onyango?Basi karudi tena kwa kasi kwenye Tasnia ya filamu,Na Filamu iliyomrudisha inaitwa HUKUMU YANGU pata mda wako wa kuitazama utamfurahia mzee huyu mahiri kwa kuigiza.
WAZIRI MKENDA AWATAKA WATHIBITI UBORA KURIPOTI CHANGAMOTO ZA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda, amewataka Wathibiti
Ubora wa Shule kuhakikisha wanatoa taarifa kwa wak...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment