Unamkumbuka Mwigizaji gwiji na maarufu Mzee Onyango?Basi karudi tena kwa kasi kwenye Tasnia ya filamu,Na Filamu iliyomrudisha inaitwa HUKUMU YANGU pata mda wako wa kuitazama utamfurahia mzee huyu mahiri kwa kuigiza.
Tanzania, Kenya zawezeshwa kujadili mwambamaji mlima Kilimanjaro
-
*Mtaalam wa maswala ya maji Kanda ya Afrika Mashariki wa UNESCO's ROEA,
Alexandros Makarigakis (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu wa Maji
Kutoka Wizar...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment