Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, December 30, 2013

RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA KUKABIDHIWA RASIMU YA KATIBA LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali wakiwapongeza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya katiba baada ya makabidhiano ya Rasimu ya pili ya Katika katika viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es salaam
  Picha ya pamoja na wajumbe wa tume
Rais Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba na wa NCCR Mageuzi Mhe James Mbatia mara baada ya kukabidhiwa na Rasimu ya katiba mapema leo,ambapo hafla hiyo imefanyika viwanja vya Karimjee jijini Dar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa,Wanasiasa na Wanaharakati,Shoto ni Waziri mkuu Mstaafu,ambaye pia  ndiye Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba akishuhudia.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment