Jana usiku ziliibuka taarifa kwamba muigizaji maarufu na nguli Mzee small kafariki dunia,Taarifa hizo zilienea kwa kasi sana hasa kupitia mitandao ya kijamiii,lakini jana usiku huo huo mtandao wetu ulifanikiwa kuongea na mtoto wa kiume wa mzee small na akakanusha taarifa hizo.Hiyo hapo chini ni video ikimuonesha mzee small akiwa mzima wa afya na kuwalaani vikali wale wote walioeneza taarifa hizo za uongo.
MAHAKIMU WAKAZI RUVUMA WAPATA MAFUNZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
-
*Na Albano Midelo,Songea*
Mahakama Kuu Kanda ya Songea imetoa mafunzo ya uchaguzi wa serikali za
mitaa kwa waheshimiwa mahakimu wakazi kutoka Wilaya ...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment