Basi
la Allys toka arusha kwenda Mwanza limeacha njia na kuingia kwenye
mteremko wa mlima Sekenge. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo break
zilifelI. Watu wote wametoka salama.
WATENDAJI WA UBORESHAJI ZANZIBAR WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA
KUFUATA SHERIA
-
*Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri
akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa
Uboreshaj...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment