WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio
Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na
Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni
Ngasongwa: FCC Yajipanga Kuboresha Mazingira ya Biashara Nchini
-
Na Mwandishi Wetu.
Tume ya Ushindani (FCC) imeweka mikakati mbalimbali ya kuimarisha utoaji wa
huduma bora kwa wananchi kwa wakati kwa kutumia mifumo ya ki...
30 minutes ago


No comments:
Post a Comment