WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio
Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na
Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni
WAANDAA MAUDHUI MTANDAONI WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA MKOPO WA RIBA NAFUU
KUTOKA MFUKO WA UTAMADUNI NA SANAA
-
Na.Vero Ignatus, Arusha
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na michezo imeendesha mafunzo kwa waandaa
maudhui mtandaoni Mkoani Arusha yakiwa na lengo la kuwaj...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment