WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio
Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na
Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
1 day ago


No comments:
Post a Comment