WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio
Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na
Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni
WAHIFADHI TFS SAO HILL WAJENGEWA UELEWA WA AFYA
-
Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu,akiwa anapima
afya akiwaongoza watumishi wengine wa Zao Hill kupima afya zao na amesema
mafunzo...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment