WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio
Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na
Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni
KOKA ACHAGIZA ML.5 KUSAIDIA MATUNDU YA VYOO SHULE YA SAINI VISIGA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe. Silvestry Koka katika kuunga mkono
juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment