Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Jeffrey Sachs usiku wa juzi,
Jumatano, Januari 22, 2014, wakati wa mjadala kuhusu jinsi ya kuongeza
kasi ya mafanikio katika kilimo cha Afrika kwenye Chakula cha Usiku
kilichoandaliwa na Taasisi ya Kilimo ya Grow Africa mjini Davos, Uswisi,
ikiwa ni moja ya shughuli za Mkutano wa Mwaka 2014 wa Taasisi ya Uchumi
Duniani (WEF). Katikati ni Waziri wa Kilimo wa Nigeria Mhe Dr. Akinwumi
Adesina.
Picha na IKULU
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment