Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Jeffrey Sachs usiku wa juzi,
Jumatano, Januari 22, 2014, wakati wa mjadala kuhusu jinsi ya kuongeza
kasi ya mafanikio katika kilimo cha Afrika kwenye Chakula cha Usiku
kilichoandaliwa na Taasisi ya Kilimo ya Grow Africa mjini Davos, Uswisi,
ikiwa ni moja ya shughuli za Mkutano wa Mwaka 2014 wa Taasisi ya Uchumi
Duniani (WEF). Katikati ni Waziri wa Kilimo wa Nigeria Mhe Dr. Akinwumi
Adesina.
Picha na IKULU
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment