Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Jeffrey Sachs usiku wa juzi,
Jumatano, Januari 22, 2014, wakati wa mjadala kuhusu jinsi ya kuongeza
kasi ya mafanikio katika kilimo cha Afrika kwenye Chakula cha Usiku
kilichoandaliwa na Taasisi ya Kilimo ya Grow Africa mjini Davos, Uswisi,
ikiwa ni moja ya shughuli za Mkutano wa Mwaka 2014 wa Taasisi ya Uchumi
Duniani (WEF). Katikati ni Waziri wa Kilimo wa Nigeria Mhe Dr. Akinwumi
Adesina.
Picha na IKULU
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
20 hours ago


No comments:
Post a Comment