Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Jeffrey Sachs usiku wa juzi,
Jumatano, Januari 22, 2014, wakati wa mjadala kuhusu jinsi ya kuongeza
kasi ya mafanikio katika kilimo cha Afrika kwenye Chakula cha Usiku
kilichoandaliwa na Taasisi ya Kilimo ya Grow Africa mjini Davos, Uswisi,
ikiwa ni moja ya shughuli za Mkutano wa Mwaka 2014 wa Taasisi ya Uchumi
Duniani (WEF). Katikati ni Waziri wa Kilimo wa Nigeria Mhe Dr. Akinwumi
Adesina.
Picha na IKULU
DKT MWIGULU: WANAOPINGA MAAMUZI YA SERIKALI WANALINDA MASLAHI BINAFSI,
WANANCHI WAMUUNGE MKONO RAIS SAMIA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni jambo la kawaida kwa
baadhi ya watu kupinga hatua za Serikali, ha...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment