WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 18/01/2014.
[Mikoa ya Morogoro (Kusini) na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Iringa na Mbeya ]: |
Hali ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
| |
[Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Tabora]:
[Mikoa ya Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kagera na Mara]: | ||
[Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro]:
[Mkoa wa Morogoro(Kaskazini)]
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]: | ||
[Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
| |
ARUSHA |
31°C
|
16°C
|
12:34
|
12:46
|
D'SALAAM |
35°C
|
26°C
|
12:17
|
12:43
|
DODOMA |
27°C
|
15°C
|
12:32
|
12:56
|
KIGOMA |
29°C
|
21°C
|
12:57
|
01:19
|
MBEYA |
23°C
|
13°C
|
12:36
|
01:10
|
MWANZA |
28°C
|
20°C
|
12:49
|
01:00
|
TABORA |
29°C
|
21°C
|
12:45
|
01:07
|
TANGA |
31°C
|
25°C
|
12:20
|
12:42
|
ZANZIBAR |
33°C
|
26°C
|
12:17
|
12:43
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini-Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani
ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu: 20/01/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 18/01/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
No comments:
Post a Comment