Kijana Zakaria Ulaya amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Tabora mjini akituhumiwa kwa kosa la kmbaka mwanafunzi wa Shule ya msingi Gongoni tukio ambalo lilifanyika huko kata ya Ipuli manispaa ya Tabora,akisomewa maelezo ya kosa Zakaria amekana kuhusika na tukio hilo,hata hivyo amerjeshwa mahabusu baada ya kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambapo walihitajika watu wawili ambao wangeweza kumdhamini kwa fedha zenye thamani ya shilingi milioni tatu kila mmoja.Kesi hiyo itatajwa tena mnamo tarehe 12 March mwaka huu.chanzo kapipij blog
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Utoaji wa Elimu ya Hifadhi ya Jamii katika
Soko la Tegeta Nyuki
-
Na Mwandishi Wetu,
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha
Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri ku...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment