Kijana Zakaria Ulaya amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Tabora mjini akituhumiwa kwa kosa la kmbaka mwanafunzi wa Shule ya msingi Gongoni tukio ambalo lilifanyika huko kata ya Ipuli manispaa ya Tabora,akisomewa maelezo ya kosa Zakaria amekana kuhusika na tukio hilo,hata hivyo amerjeshwa mahabusu baada ya kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambapo walihitajika watu wawili ambao wangeweza kumdhamini kwa fedha zenye thamani ya shilingi milioni tatu kila mmoja.Kesi hiyo itatajwa tena mnamo tarehe 12 March mwaka huu.chanzo kapipij blog
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment