skip to main |
skip to sidebar
Dk.Shein akutana na Balozi wa Malawi
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi wa Malawi Nchini Tanzania Bi.Flossie Asekanao
Gomale-Chidyaonga,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akifuatana na Balozi wa Malawi Nchini Tanzania Bi.Flossie Asekanao
Gomale-Chidyaonga, Ikulu Mjini Zanzibar baada ya mazungumzo yao leo
alipofika kujitambulisha .[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment