Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 7, 2014

KESI YA MSANII LULU KUSOMWA TENA TAR 17 MWEZI HUU



MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' ambaye anakabiliwa na kesi ya kuuwa bila kukusudia msanii mwenzake 'Steven Kanumba atasomewa mashtaka yake Februari 17, mwaka huu ambapo atasomewa mashataka hayo mbele ya jaji Rose Teemba wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ambapo siku hiyo anatakiwa kujibu kama kweli au si kwelli.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Mahakama hiyo Lulu baada ya kusomewa mashataka kesi hiyo itapangwa tarehe nyingine kwa ajili ya mshatakiwa huyo kusomewa maelezo ya awali kabla ya kuanza kusikilizwa rasmi.

No comments:

Post a Comment