Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, February 13, 2014

MCHEZO WA MAN CITY VS SUNDERLAND WAGHAIRISHWA

Mchezo wa Manchester City dhidi ya Sunderland uliokuwa uchezwe katika dimba la Etihad Stadium umeghairishwa kutoka na hali mbaya ya hewa. 
Polisi wa jijini Manchester wamethibitisha habari hiyo saa moja kabla ya kuanza kwa mchezo huo huku kukiwa na upepo mkali ambao umeufanya mchezo huo kughairishwa na kutokana masuala ya usalama.
Nahodha wa City Kompany aliandika kwenye Twitter: "Mchezo umeigharishwa. Hakikisha unarudi nyumbani salama, hali ya hewa sio nzuri.

No comments:

Post a Comment