MKUU wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa akisisitiza jambo kwa wananchi wa Kijiji cha Lusanga kata ya Mnyuzi wilayani Korogwe kilichokumbwa na maafa ya wananchi wake kuezuliwa mabati kwenye nyumba zao katika kaya 83 wilayani humo, uliotokana na upepo mkali ulio ambatana na mvua juzi kushoto ni Afisa Rasilimali wa Kiwanda cha Unga cha Pembe jijini Tanga Bw. Salele Masoud na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo. Kwa hisani ya Tanga Raha Blog |
TEA & TOTALENERGIES MARKETING LTD WAKABIDHI MADWATI 130 WILAYANI KIBITI
-
Kampuni ya TotalEnergies Marketing Ltd kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA) wamekabidhi madawati 130 katika shule ya Msingi Jaribuni
Mpaka...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment